New Mafinga Health and Allied Institute Admission 2020 – 2021
New Mafinga Health And Allied Institute (New Mafinga) ni chuo cha afya kilichopewa usajili wa kudumu na NACTE, usajili namba….. Chuo hiki kilianza kutoa mafunzo katika kozi za afya tangu mwaka 2012. Mpaka sasa chuo hiki kinatoa mafunzo katika kozi za Uuguzi na Ukunga ngazi ya cheti (Certificate in Nursing and Midwife), Huduma ya Afya ya jamii (Certificate in Community Health), Clinical Officer ngazi ya cheti na Pharmacy ngazi ya cheti. Mchanganuo wa kila kozi upo hapa chini kwenye jedwali.
S/N | JIna la Kozi | Muda wa Kusoma(Miaka) | Ada kwa Mwaka (Shilingi za Kitanzania) |
---|---|---|---|
01 | Technician Certificate in Nursing and Midwifery | 2 | 1,100,000 |
02 | Basic Technician Certificate in Community Health | 1 | 1,100,000 |
02 | Technician Certificate in Pharmacy | 2 | 1,100,000 |
Qualifications for Certificate of Nursing and Midwifery: Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four(4) Passes in non-religious Subjects including “D” Passes in Chemistry, Biology and Physics/Engineering Sciences. A Pass in Basic Mathematics and English Language is an added Advantage.
New Mafinga Health and Allied Institute Contact Details
PHONE NUMBERS
- +255 763 777 660
- +255 754 680 886
- nemahuhai@yahoo.com
- azaelyderick@gmail.com